Friday, July 1, 2016

Mc POLD wa Ukweli

MC  Leopold ni mshehereheshaji anayechipukia katika Jiji la Dar Es Salaam. Anapatikana zaidi maeneo ya Magomeni. MC asiyekuwa na Makuu, Kijana na anayeitendea vyema kazi yake. Mawasiliano hayo hapo. Na mweleze umemuona kwenye Banzi wa Moro. Hahaha.

Mji kasoro Bahari- Moro - 2016

Hiki ndicho keepleft cha Msamvu, Morogoro

Utafiti wa mbolea unaofanyika ARI-Mlingano

 Ukitaka kuingiza mbolea mpya nchini lazima ifanyiwe utafiti kuona kama inafaa na haina madhara. Huu ni utafiti wa mbolea angalia tofauto. Mkono wa kushoto wameweka mbolea inayofanyiwa utafiti. Kati kati hakuna mbolea.

Je, ukipata mlo huu asubuhi utajisikiaje?

Nimevutiwa na mlo huu, chips, mishkaki, juice saladi. Aah lazima afakamie tu.

Yanga Vs TPMazembe- Tulishangilia lakini Yanga ilipoteza pointi 3

Mechi ya Yanga na TP Mazembe Uwanja wa Taifa  tarehe 28/6/2016. Tulishangilia wote hata hivyo yanga ilipoteza pointi tatu kwa kufungwa bao 1-0
Picha zote kwa hisani ya Michuzi Blog