
Three things in life that are most valuable: Love, Family & Friends and Kindness. In the picture Banzi wa Moro with his long time friend Dr. Sabuni (Baba Ben).



- Vipindi vyake vinavutia kama vile -Jambo Tanzania
- Anahoji bila woga
- Maswali yake ni ya msingi
- Mada zinazozungumziwa ni za aina mbalimbali
- Wanaohojiwa si watu maarufu tu hata watu wa kawaida
Safi sana Marini Hassan Marini na Hongera TBC. Lakini haya ni maoni yangu.



