Christina ni mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Zambia mwanadada huyu ni mtaalamu mzuri katika masuala ya habari na mawasiliano katika kilimo. Pichani anaelezea jambo kwenye flip chart.
Friday, September 3, 2010
Kutoka Chuo Kikuu Zambia
Christina ni mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Zambia mwanadada huyu ni mtaalamu mzuri katika masuala ya habari na mawasiliano katika kilimo. Pichani anaelezea jambo kwenye flip chart.
Utanitambuaje?
Kazi kwelikweli!
Nilivyojitambua
Kuna wakati kwenye moja ya kikundi tulitakiwa kujichora na kujieleza bila kujali wadhifa wako na utaalamu wako. Hivi ndivyo nilivyojitambua.Hii inasaidia kuvunja ukimya kwenye kikundi na pia kumuelewa mtu kwa kiasi fulani na kuwa wavumilivu la sivyo mnaweza kushikana mashati wakati wa kutoa mawazo kwa sababu kila mmoja anataka asikilizwe.Isitoshe wengine ni ving'ang'anizi kila kitu wanataka wafanye wao na wengine hawajionyeshi kirahisi lakini wana uwezo mkubwa.
Na mimi nimo
Thursday, September 2, 2010
Tumekwenda na vitendea kazi
Rich Picture!
Imemgusa!
Mwanahabari wa Kisasa
Moja ya kifaa muhimu kwa mwanahabri wa kisasa ni kompyuta.Aidha haitoshi tu kuwa na kopmyuta lazima kujengewa uwezo wa jinsi ya kutumia kifaa hicho upashanaji habari na mawasiliano.
Pichani ni Jerome Nkhoma kutoka Malawi akisisitiza jambo katika warsha inayoendelea hivi sasa mjini Pretoria. Jerome ni Afisa Ugani Kilimo lakini amebobea katika nyanja ya habari na mawasiliano. Ni rafiki yangu, tumeshiriki mara nyingi katika kazi za kitaalamu zinazoandaliwa na SADC katika masuala ya habari. Timu yao kutoka Malawi ni ya watu watatu pia.
Mijadala inaendelea
Siko peke yangu
Inabidi kutulia na kutafakari pia
Bado tunaendelea na Warsha ya Habari na Mawasiliano katika Kilimo hapa jijini Pretoria Afrika ya Kusini. Leo ni siku ya nne kuna mambo mengi sana niliyojifunza lakini pia nimechangia mengi katika warsha hii na bado naendelea kuchangia mpaka kieleweke. Kikubwa si kuwasiliana tu bali mawasiliano yanasaidia nini katika uzalishaji wa kilimo hatimaye kuboresha maisha ya wananchi katika eneo hili la kusini mwa Afrika? Inabidi kutulia na kutafakari kwa kina.
Wednesday, September 1, 2010
Akina mama wameshiriki kwa wingi
Wataalamu wa Habari na Mawasiliano-SADC
Davy Simumba mtaalamu wa mawasiliano kutoka Zambia
Mawazo ukutani
Wakati mwingine huchoka
Kuna wakati nilishika kalamu na kuongoza mjadala
Wakati mwingine inabidi tupate mazoezi
Lazima atakupa kazi
Subscribe to:
Posts (Atom)