Dada Batsheba, Meab,kaka Inno,Frank, shangazi Mbwala na Bw wote walikuwepo.Umewaona?
Tuesday, July 5, 2011
Kwa furaha Ana aliimba wimbo
Kilichofuata ni hafla ya 'engagement'
Nikueleze?Baada ya kupata mkwanja wa kutoka ..... Kuna nini tena! Ilikuwa ni hafla fupi ya 'engagement'Wahusika walijitokeza hadharani. Kulia ni dada Anna na kushoto ni shem wetu Mlaki. Aliyeshika microphone ni Banzi wa Moro.Hapa sasa ni mshereheshaji.Wakati wa kutoa mahali nilikabidhiwa jukumu na familia kuendesha mchakato wa kutoa na kupokea posa.Waandishi wa habari wa vyombo vyote hapa nchini walishuhudia tukio hili.
Tunapokea mahali
Karibuni!
Paroko Tomy alisimamia maandamano
Maandamano Parokiani-Vikindu Jimbo kuu la Dar Es Salaam
EKARISTI TAKATIFU
Friday, July 1, 2011
Taasisi ya Utafiti Kizimbani -Zanzibar
Makutano ya Legezamwendo na Bubu
Flats alizojenga Sheikh Abeid Amani Karume
Azam Marine
Subscribe to:
Posts (Atom)