
Kama umeshafika Accra Ghana na kama wewe ni mtafiti wa kilimo lazima utakuwa umefika kwenye makao makuu ya FARA (Forum for Agricultural Research in Africa)- Ni mkono wa kiufundi wa AU katika masuala ya uendelezaji Kilimo na Uchumi wa vijijini katika Bara la Afrika. Pichani ni Bodi ya Utendaji na Sekretariati ya FARA.
No comments:
Post a Comment