
Tulipohitimisha 40 ndugu zetu pale Morogoro-Kola, aliyetuandalia chakula alikuwa Bw. Malongoza. Licha ya kuchelewa kufika lakini chakula kililiwa saa 7 mchana nasi wa Dar tuliweza kurudi masikani. Ukikaa na Malongoza utajifunza mengi katika upishi wa chakula cha watu wengi.
No comments:
Post a Comment