
Friday, August 19, 2011
Banzi wa Moro

Tuesday, August 16, 2011
Lugaluga wanalima na kuuza
Kama tunataka wakulima wetu wasinyonywe na wakione kilimo kinalipa wazalishe na kuuza wenyewe huku wakimiliki zana za usalishaji na ikiwezekana na miundo mbinu. Lugaluga wameshaanza kufanya hivyo. Kinachowakwimisha ni miundo mbinu ya umwagiliaji na barabara safi za mashambani. Hilo linatakiwa kufanyiwa kazi.
Lugaluga walikuwepo 8/8
LugaLuga Agricultural Marketing and Cooperative Society kulikuwepo kwenye maonyesho ya wakulima ya mwaka 2011 kwenye uwanja wa maonyesho-Morogoro. Walioneysha zana wanazotumia (matrekta madogo na makubwa) ambayo wanamiliki wanachama kupitia Ushirika wao. Bidhaa wanazozalisha- Mpunga, alizeti na mahindi. Hao ndiyo Lugaluga waliojizatiti kuondoa umaskini kupatia Ushirika.
Wakorea wanataka kuibadilisha Pangawe
Katika muda wa miaka mitano ijayo, Wakorea wanataka kukibadilisha kijiji cha Pangawe kilichopo wilaya ya Morogoro vijijini kuoenakana cha kisasa zaidi kikiwa na miundombinu ya umwagiliaji, barabara za mashambani, shule bora ya msingi, maji safi huduma ya afya, umeme na huduma nyingine. Tusubiri tuone. Kazi hiyo inafanywa na KOICA-Korea Interanational Cooperation Agency.
Tunatarajia kupata aina mpya ya kunde
Banda la utafiti wa Kilimo mwaka 2011
Banda jipya la Utafiti - Morogoro
Hivi sasa Kibungo Juu
Tunalisha na kuhifadhi ardhi
Majani yajulikanyo kwa jina la mabingobingo yanatumiwa na wakulima wa Kibungo Juu wilayani Morogoro vijijini kwa kulishia mifugo hasa mbuzi na nguruwe pamoja na kuhifadhi ardhi. Pichani mkulima akimuonyesha Banzi wa Moro majani hayo katika banda la Maonyesho ya Idara ya Hifadhi na Matumizi Bora ya Ardhi.
Kijana na Kilimo cha Nyanya- Kibungo
Kijana huyu aliyekuwa kwenye banda la maonyesho la Idara ya Hifadhi na Matumizi Bora ya Ardhi alinieleza jinsi alivyojifunza kilimo bora cha nyanya juu ya milima ya Kibungo na kusema kuwa kwa mara ya kwanza magari ya mizigo yalipanda mlimani kubeba mazao ya mbogamboga ambayo yamemsaidia sana kuongeza kipato chake.Pichani akiwa kwenye bustani ya maonyesho ya nyanya.
Utunzaji wa Ardhi ni pamoja na ufugaji bora
Wakulima kutoka Kibungo Juu
'LUP' yafanya kweli 8/8 Moro
Tuesday, August 2, 2011
Na mashine ya kupura mpunga je?

Teknolojia ya umwagiliaji
JK afungua maonyesho ya Wakulima 2011
Monday, August 1, 2011
Kariakoo usiku
The Banzis
Wajumbe wa Africana wakisikiliza kwa makini
Mwenyekiti wa Africana awataka wanakikundi kulipa ada za uanachama
Subscribe to:
Posts (Atom)