
Wizara ya Kilimo na Chakula imeanza kujenga banda jipya la Utafiti na Maendeleo katika viwanja vya Nane Nane - Morogoro na kuanza kutumika katika maonyesho ya mwaka huu.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Utafiti kanda ya Mashariki - Dr. Chaboba Mkangwa, banda hilo likikamilika litakuwa likitowa huduma za mikutano na shughuli nyingine muhimu za Wizara katika viwanja hivyo.
No comments:
Post a Comment