
Madafu bwelele jijini Maputo, Msumbiji. Vijana hao (nje ya uzio) walipotuona walitukimbilia na mkokoteni wao wakitaka kutuuzia madafu lakini kwa kuwa lugha gongana tulishindwa kunywa maji ya dafu ( Wao Wareno sisi Waingereza!).Kwa hiyo hata bei ya dafu jijini Maputo siijui!
No comments:
Post a Comment