Tuesday, September 18, 2012

Wezi wa kompyuta wabambwa Kilimo

Leo mchana wezi waliofanikiwa kuiba compyuta (laptop) kwenye gari lilikuwa limeegeshwa maeneo ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika huko Temeke Veterinary walibambwa na mmojawapo kuta kipigo cha nguvu. Kwa muda mrefu sasa jijini Dar kumekuwa na mtandao mkali wa wezi kuvunja magari na kuiba vitu vinavyokuwemo ndani ya gari hasa laptop
Dereva ambaye aliendesha gari ambalo mwizi alilikimbilia akiwa amwekwa chini ya ulinzi kwenye kibanda cha jengo la Kilimo II.

No comments: