Wednesday, June 22, 2011
ASA-Mkataba wa Huduma kwa Mteja
Dakawa-Kituo cha usambazaji wa Teknolojia
SARO- Nyumbani kwake Cholima-Dakawa
Ni madaraja
Friday, June 17, 2011
Chini ya Daraja la Umoja
Nangurukuru
Nyama choma na supu ya mbuzi ok!
Mbuzi wa utafiti - Mnima
Hawa ni mbuzi wa utafiti waliopo kwenye kituo cha majaribio ya utafiti kilichopo Mnima huko Newala.Hapa ndipo panapotarajiwa kutoa aina mpya ya mbuzi kwa miaka ijayo kwani ili kupata aina ya mbuzi kwa kuzingatia sifa zinazotakiwa utafiti huchukua muda mrefu.Ili kufikia lengo lazima uwekezaji katika utafiti uongezeke zaidi kwa kuongeza wataalamu na vitendea kazi.
Unapoingia mjini Lindi
Tunasali na kutafakari
'Kocha'akiwakambini Nyegezi Mwanza
Kise Kids wanasubiri zawadi
Daraja la Umoja - Msumbiji naTanzania
Tunakwenda kusali kwenyeJumuiya
Tuesday, June 7, 2011
HA! LEO 'BIRTH DAY' YANGU
Leo ni 'Birth day yangu'. Na leo natimiza post ya 1000 katika blog yangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa uhai hadi kufikia siku ya leo Jumanne 7/6/2011. Nimefurahi pia kuingiza post ya elfu moja tangu kuanza kwa Blog hii. Mwezi huu ni mwezi wa mafanikio kwangu kwa mara ya kwanza kwa mwezi mmoja nimeingiza zaidi zaidi ya post 60!
Monday, June 6, 2011
Hili ndilo daraja la Mkapa
Subscribe to:
Posts (Atom)