Tuesday, August 16, 2011
Banda jipya la Utafiti - Morogoro
Hivi sasa Kibungo Juu
Tunalisha na kuhifadhi ardhi
Majani yajulikanyo kwa jina la mabingobingo yanatumiwa na wakulima wa Kibungo Juu wilayani Morogoro vijijini kwa kulishia mifugo hasa mbuzi na nguruwe pamoja na kuhifadhi ardhi. Pichani mkulima akimuonyesha Banzi wa Moro majani hayo katika banda la Maonyesho ya Idara ya Hifadhi na Matumizi Bora ya Ardhi.
Kijana na Kilimo cha Nyanya- Kibungo
Kijana huyu aliyekuwa kwenye banda la maonyesho la Idara ya Hifadhi na Matumizi Bora ya Ardhi alinieleza jinsi alivyojifunza kilimo bora cha nyanya juu ya milima ya Kibungo na kusema kuwa kwa mara ya kwanza magari ya mizigo yalipanda mlimani kubeba mazao ya mbogamboga ambayo yamemsaidia sana kuongeza kipato chake.Pichani akiwa kwenye bustani ya maonyesho ya nyanya.
Utunzaji wa Ardhi ni pamoja na ufugaji bora
Wakulima kutoka Kibungo Juu
'LUP' yafanya kweli 8/8 Moro
Tuesday, August 2, 2011
Na mashine ya kupura mpunga je?
Moja kazi ngumu katika kilimo cha mpunga ni kupura (kutoa punje kwenye mmea). Kwa wakulima wadodo hutumnia njia nyingi iliyo maarufu ni kuupiga kwa kutumia fimbo au kufikicha majani.Unapopiga mpunga uliotandazwa chini mara nyingi ubora wake huathirika sana hasa mchele kuwa na mchanga na harufu ya udongo. Kwa kutumia mashine hii ya Wakorea (pichani) kazi huwa nyepesi na ubora wa mchele huongezeka hivyo kumvutia mlaji.
Teknolojia ya umwagiliaji
JK afungua maonyesho ya Wakulima 2011
Monday, August 1, 2011
Kariakoo usiku
The Banzis
Wajumbe wa Africana wakisikiliza kwa makini
Mwenyekiti wa Africana awataka wanakikundi kulipa ada za uanachama
Saturday, July 9, 2011
Abiria wanaposubiri chombo bandarini Malindi-Unguja
Choo cha Bandarini-Malindi Unguja
Subscribe to:
Posts (Atom)

