Tuesday, April 3, 2012

Mawasiliano na Banzi wa Moro


Kuanzia sasa unaweza kuwasiliana na Banzi wa Moro kwa kutumia email addresses zifuatazo:- banzi.john@yahoo.com;jlsbanzi@gmail.com

kuna wasomaji wangu wengi walikuwa wakiuliza mbona siwajibu wakinitumia msg kwa email ya jbanzi@hotmail Ndugu zangu hii ilishibiwa na wajanja siku nyingi kwa hiyo nilikuwa siitumii lakini ilikuwa inaonekana kwenye blog yangu ingawa mimi nilikuwa natumia hiyo ya gmail.Leo nimempata mtaalamu wa IT hapa Mananga Centre na kunirekebishia mamboos.Vitu sasa safi kabisaa.Byebye hotmail.Na pole sana aliyeningilia hata kama hajui Kiswahili habari ndiyo hiyo!

Nauli za mabus Tanzania hizi hapa

Bango linaonyesha taarifa ya nauli za mabus kutoka Dar Es Salaam kwenda mikoani.(Nashindwa kufahamu kama Abood Bus ni kawaida,luxury au semi luxury).Jamani, Mkuranga nayo ni mkoani kama ilivyo Kibaha mbona haipo bangoni. (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog).

Heshimu lugha ya mwenzako

Hebu soma bango hilo pichani. Bango hili ni moja ya mabango mengi yaliyotundikwa chuoni Mananga, Swaziland.Tafsiri kutoka Kiswati kwenda kiingereza inaeleweka.Je? Bango hilo lingeruhusiwa kutundikwa Tanzania?(Picha kwa hisani ya Leonard Mabuga, masomoni Mananga, Swaziland)

Mambo ya mpakani

Si mpakani mwa Swaziland wala Msumbiji ubadilishaji wa fedha kwa magendo unaendelea waziwazi. Hao wanaoenekana pichani wote wanafanya biashara ya kubadilisha fedha.

Squarters za Maputo

Maputo ni jiji kubwa ukilinganisha na Mbabane, Swaziland lakini unapoanza kuingia jijini Maputo ukitokea Swaziland habari ndiyo hiyo!

Jinsia inazingatiwa chuoni Mananga

Wimbi la kujiendeleza kitaalamu haliangalii jinsi ya mtu. Hapa chuoni Mananga idadi ya wanachuo ukizingatia jinsi ni asilimia 50 wanawake na asilimia 50 wanaume. Wanawake wana nafasi sawa na wanaume na kwa hakika wanawake wanapewa kipaumbele zaidi. Hata waajiri wameshaliona hilo ndiyo maana hali ni kama nilivyoieleza.

Msafiri Kafiri!

Msafiri kafiri.Ndiyo methali tuliyoizoea nyumbani Tanzania. Nikiwa Maputo Msumbiji hivi karibuni nilithibitisha uhalisia wa methali hiyo. Tukitokea Swaziland (nyumbani kwetu) tulijiandaa kwa vitafunnwa na vinywaji. Tulipofika Maputo tulipata kifungua ndani ya gari letu tulilosafiria. Mimi nilipata kipande cha kuku sehemu ambayo huwa siipendi!Tuko ugenini, safarini-Kweli Msafiri Kafiri.

Madafu- Maputo kama Dar!

Madafu bwelele jijini Maputo, Msumbiji. Vijana hao (nje ya uzio) walipotuona walitukimbilia na mkokoteni wao wakitaka kutuuzia madafu lakini kwa kuwa lugha gongana tulishindwa kunywa maji ya dafu ( Wao Wareno sisi Waingereza!).Kwa hiyo hata bei ya dafu jijini Maputo siijui!

Monday, April 2, 2012

Kila mlo - Juice

Kuna Juice za aina nyingi kutoka matunda mbalimbali.Hapa Mananga kila mlo lazima upate juice.Kuna juice ya maembe, mapera,machungwa,passion fruit....Unajua mimi napenda juice gani? (Hiyo yenye rangi nyekundu!)

Inawezekana

Essau Banda (katikati) ni Mhasibu - Benki Kuu Malawi na pia ni Mchungaji(Pastor).Tupo naye Swaziland hapa chuoni Mananga. Juzi tulisafiri naye kwenda Maputo Msumbiji. Kabla ya kuanza safari yetu tuliomba mmoja wetu aombe kwa sala ili Mungu aibariki safari yetu. Banda alijitokeza na kuomba sala fupi na nzuri.Kwenye bus nilikaa karibu naye pembeni yake kulikuwa na kitabu. Nilimuomba kukisoma ndipo nipogundua kuwa Banda ni mchungaji baada ya kusoma ukurasa wa kwanza ulioandikwa Pastor Essau Banda! Ona, Banda hajawahi kujionyesha kuwa ni mchungaji au mlokole. Na pia sikutegemea kuwa na mchungaji akisoma mambo ya dunia hapa Mananga, kumbe yote inawezekana!

Sunday, April 1, 2012

Na hapa ni Lomahasha border post ya Swaziland

Lomahasha kituo cha uhamiaji cha Swaziland.

Mpakani Namaacha-Msumbiji

Jana tarehe 31/03/2012, Mwenyekiti wa 'Africana Group' akiwa mpakani mwa Msumbiji na Swaziland.

Shamba la Miwa la Simunye-Swaziland


Shamba la miwa la Simunye nchini Swaziland

Bus linapovuta trailer la mizigo

Lori kufungwa trailer ni kitu cha kawaida nchini Tanzania lakini kwa bus hasa la abiria sijaona. Jana tarehe 31/3/2012 akiwa ziarani jijini Maputo nchini Msumbiji,Banzi wa Moro alishuhudia bus hili likivuta trailer lenye mizigo ya abiria.Usalama wa mizigo ya abiria!(sina jibu)

Ushuru wa barabara-Maputo

Unapoingia au kutoka Msumbiji kwa gari ni lazima ulipie ushuru.Pichani gari yetu ikisubiri kulipia ushuru jana tarehe 31/3/2012

Siyo photoshop

Leonard ndani ya Maputo akitokea Swaziland.Utamtaka!

Sina la kuwadanganya April 1

Banzi wa Moro Kando ya mti wa Yanga,Simunye-Swaziland!

Saturday, March 31, 2012

THE WORST WORLD'S MAFIAS

Once upon a time there was just the mafia, which started out in Sicily but wound up running New York. Understanding how they did it was relatively straightforward too: all you had to do was to watch the Godfather trilogy, or one or two of Martin Scorsese's brilliant wise-guy movies.
These days it seems many more countries have crime organisations of their own. Equally vile, just as violent, just as corrupt and in some cases perhaps even more pervasive - and always with a local twist.
From Japan's Yakuza to Kenya's Mungiki, MSN investigates 10 of the world's worst mafias.

Yakuza (Japan)
Calling themselves ninkyō dantai or 'chivalrous organisations', Japan's crime elite are perhaps best known for their extensive tattoos and the gruesome practice of yubitsume. The latter is a requirement for anyone who offends his fellow gang member to sever his own finger, a traditional way of weakening a fighter's grip on his own sword.
Numbers are thought to have declined steadily since the 1990s, although estimates still suggest that as many as 85,000 mostly male members make up the five leading yakuza gangs

Unione Corse (France)
Active on Corsica and in the Mediterranean port of Marseilles, the Unione Corse (UC) is not thought to have spread much further afield. Hugely secretive, it may comprise just a dozen or so families.
Claims have also been made for a more respectable role during the second world war, with gang members 'executing' Nazi collaborators on behalf of the resistance. This has yet to be verified, as has the suggestion that UC enforcers were paid by the government to attack communist strikers in 1948

Triads (China)
Claiming they opposed the Manchu invasion during the Qing Dynasty (1644-1912), China's triads have nevertheless since provided the archetype of the violent oriental gangster. They comprise many individual gangs which number anything between a few dozen or several thousand members and wield considerable influence whilst keeping an impressively low profile.
Operating internationally for many years, the triads are thought to be particularly active in the hi-tech arena, gradually expanding their expertise at counterfeiting money and goods to pirating computer software, CDs and DVDs. Violence or the threat of it naturally underpins their activities, and bloodthirsty initiation ceremonies are not uncommon

Srpska Mafija (Serbia)
Made up of Serbs, Croats, Bosnians and Albanians, a number of organised gangs came to prominence in the chaos which followed the break-up of Yugoslavia in the 1990s. That said, one so-called godfather, Ljuba Zemunac, was already active in Italy and Germany at the time of his murder by a rival in 1986.
More recently the gangs have spread throughout the EU, but at home remain particularly well connected. There are, for example, rumours of many powerful connections among local and national politicians and, until his death in 2006, former president Slobodan Milošević was said to have protected their interests in exchange for favours.

'Ndrangheta (Italy)
What the Camorra are to Campania, this lot are to Calabria. They have dominated crime in the 'toe' of Italy since the 1860s. Back then it was to rob and blackmail the galantuomini, rich landowners held responsible for the region's high levels of local taxation.
For around 100 years they remained a mostly local organisation, but in the mid-1970s moved into the kidnap business with a particular penchant for rich northerners. One victim is thought to be John Paul Getty III but a vow of silence (omerta) has so far prevented this from being confirmed.

Mungiki (Kenya)
A Kikuyu word meaning 'united people', the Mungiki were banned in 2002 but still operate openly in Mathare, a slum district of Nairobi. An almost total lack of any official law enforcement has allowed gang members to fill the vacuum whilst profiting from East Africa's urban poor.
The gangs reject many western practices in favour of often barbaric local traditions. They are also implicated in many horrific killings, in particular the beheading of matatu (minibus-taxi) drivers who refuse to join them
humbnails

La Eme (Mexico/America)
Deriving its name from the Spanish letter M, the so-called Mexican mafia recently celebrated a half-century of operations and is now well established in California. Claims have been made for a religious (ie Aztec/Mayan) dimension but their activities mostly include murder, gun-running, drug trafficking, kidnapping, prostitution, extortion and illegal gambling.
In the early days new members were recruited whilst in jail, hostile environments where particular ethnic minorities often group together for self-protection. However, defence rapidly turned to offence against other inmates, and upon being released members found themselves with a readymade hierarchy well-suited to future criminal endeavour.

Cosa Nostra (Italy)
'Our cause', or more informally 'this thing of ours', is, as an informer told US authorities in the early 1960s, how the mafiosi refer to themselves. The origins of the organisation lie in the harsh conditions of 19th century Sicily when clans or families (borgatas) came together for their mutual benefit.
Emigration took family members to the US, where crimes such as gun-running, racketeering and bootlegging during the Prohibition era soon gave a minority of America's relatively small Italian community an economic power and press profile out of all proportion to its size.

Bratva (Russia)
The first of the new mafias to enter the public consciousness, numerous gangs - the name is slang for 'brotherhood' - rose from the ashes of communism in the early 1990s.
Like the Sicilians, their influence has spread through mass emigration as thousands of Russians sought a better life in Europe and the US.

Camorra (Italy)
Predating most of its Italian rivals, the Camorra has its origins in the Campania region and is thought to date back to the 15th century when this area was ruled from Spain. With American and even Scottish branches, they are still strong in Naples and have several hugely profitable waste-disposal contracts.
The gangs' other profit-making focal points are the usual ones: drug trafficking and distribution operations; cigarette-and people-smuggling schemes; loansharking and construction projects.

Tuesday, March 27, 2012

Hata kwetu vipo


Hivi karibuni nimekuwa nikifuatilia post nyingi za Mjengwa blog.Kuna post alizoonyesha jinsi alivyotembelea Ruaha National Park ni 'experience nzuri.' Hii inawezekana kabisa ni kufanya uamuzi tu. Inabidi kutembelea vivutio vyetu vya asili, lakini nafikiri kwa wengi mtazamo wetu ni uleule wa zamani.Hata walio jirani huenda hawajui kinachoendelea kwenye mbuga zetu za Taifa.(Picha kwa hisani ya Mjengwa blogKudzu wa Ruaha National Park
Watoto wa Maggid wakiwa kwenye Park ya Ruaha
Twiga wetu
Pundamilia wanapendeza

Baba anapokuwa karibu na wanae

Hivi akina baba wangapi tumeshawahi kupanga safari ya pamoja na watoto wetu bila ya mama yao? Mwenzetu Maggid amefanikiwa sana kwa hilo. Mara nyingi yuko na wanawe. Anasafiri nao, anacheza nao wanajadiliana hivyo wamemzoea, wanampenda. Hayo ndiyo maisha. Wengine je?