Kwa wale tunaotumia barabara ya Kilwa tumeanza kuonja adha ya 'Traffic jam' hasa nyakati za asubuhi. Kinachosababisha ni barabara mbovu.
Wednesday, April 18, 2012
Adha ya Traffic jam-Barabara ya Kilwa
Kwa wale tunaotumia barabara ya Kilwa tumeanza kuonja adha ya 'Traffic jam' hasa nyakati za asubuhi. Kinachosababisha ni barabara mbovu.
Duka la viatu vya Bata
Thursday, April 12, 2012
Tukubali Dar chafu
Siku ya jana mvua kubwa ilinyesha jijini Dar. Nilishuhudia mafuriko katika mto Kizinga. Baadhi ya maeneo ya Tandika nyumba zilibomoka.Uchafu ulijitokeza waziwazi kwenye mitaa ya Tandika, Temeke na Mbagala. Mifereji imeziba maji hayatiririki kwenye mitaro iliyojengwa. Kila aina ya uchafu ulisambaa kirahisi kabisa. Mifuko ya plastiki, chupa, matambara, miwa, matunda, matairi chakavu na vingi vingi. Ni uchafu ambao umekuweko kwenye mitaa yetu kwa siku nyingi bila kushughulikiwa. Nina imani kuwa kuna kampuni za usafi zinazolipwa na jiji au Manispaa husika. Hizi zinafanya kazi gani je zinapata malipo bila kazi? Manispaa kwanini zimeshindwa kusimamia usafi? Mbona Moshi wameweza. Hakika ukifika Moshi utadhani ndiyo makao makuu ya Tanzania kwa jinsi maeneo yalivyo safi. Moshi kila mmoja ni askari wa usafi. Tukubali Dar Chafu!
Tuesday, April 3, 2012
Mawasiliano na Banzi wa Moro
Kuanzia sasa unaweza kuwasiliana na Banzi wa Moro kwa kutumia email addresses zifuatazo:- banzi.john@yahoo.com;jlsbanzi@gmail.com
kuna wasomaji wangu wengi walikuwa wakiuliza mbona siwajibu wakinitumia msg kwa email ya jbanzi@hotmail Ndugu zangu hii ilishibiwa na wajanja siku nyingi kwa hiyo nilikuwa siitumii lakini ilikuwa inaonekana kwenye blog yangu ingawa mimi nilikuwa natumia hiyo ya gmail.Leo nimempata mtaalamu wa IT hapa Mananga Centre na kunirekebishia mamboos.Vitu sasa safi kabisaa.Byebye hotmail.Na pole sana aliyeningilia hata kama hajui Kiswahili habari ndiyo hiyo!
Nauli za mabus Tanzania hizi hapa
Heshimu lugha ya mwenzako
Mambo ya mpakani
Squarters za Maputo
Jinsia inazingatiwa chuoni Mananga
Msafiri Kafiri!
Madafu- Maputo kama Dar!
Monday, April 2, 2012
Kila mlo - Juice
Inawezekana
Sunday, April 1, 2012
Bus linapovuta trailer la mizigo
Ushuru wa barabara-Maputo
Subscribe to:
Posts (Atom)
