Tuesday, January 28, 2014

Happy Birth Day Norbert !



Tarehe 26/01/2014 Norbert Macarios Banzi ametimiza mwaka mmoja. Happy birthday Norb. Je, atakuwa dereva?

Onyo

Baeleze, baeleze!

Ujasiri wa kuchezea nyoka

Wengine wanaogopa nyoka. Lakini kuna dada majasiri wa kucheza ngoma na nyoka hapa nchini Tanzania huu ni utamaduni wetu tuuenzi.

Mwanangu kujiunga na shule hii

Sababu kubwa ni mmiliki wa shule hii ni Simba mwenzangu. Akha! Charity begins at home babu!

Mama Kikwete hotuba kwa wake wa Mabalozi

Mama Salma Kikwete akitoa hotuba ya kuukaribisha mwaka mpya kwa wake wa Mabalozi nchini Tanzania hivi karibuni.

Mawaziri wa Fedha Tanzania

Mawaziri wa Fedha Tanzania. Watatu ni wa Muungano na mmoja  wa Zanzibar. Chungu kimoja

Kikwete na Ruto

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa   Ruto Makamu wa Rais wa Kenya hivi karibuni

Mnyama!

Usimchezee simba atakurarua. Kaa mbali naye!

John Pombe Magufuli kwenye eneo la Mafuriko

Waziri wa Ujenzi Mhe. John Magufuli akiwa katika eneo la mafuriko kwenye daraja la Dumila

Magufuli ndani ya mtambo kwenye eneo la darala la Dumila

Waziri wa Ujenzi Mhe. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya mtambo wa kujaza kifusi kwenye daraja lililoharibiwa na mafriko huko  Dumila, Kilosa, Morogoro.

Mafuriko kijiji cha Magore

Mafuriko kijiji cha Magore. Kikwete ashtukia takwimu zilizowasilishwa za wahanga wa mafuriko

Hivi ndivyo daraja la Dumila lilivyochimbika

Daraja lilichimbwa mwanzo na mwisho hivyo  kulifanya lisipitike baada ya mvua kubwa kunyesha wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.

Ibrahimu Masoud akimhoji Sumaye

Mtangazaji maarufu wa michezo wa Clouds alipata fursa ya kumhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Sumaye wakati alipotembelea studio za kituo hicho hivi karibuni. Masoud alimuuliza swali la kizushi Mhe. Sumaye mapenzi yake kwa Club ya Simba ya mtaa wa Msimbazi  maaelezo zaidi sina.

Kikwete ashangiliwa Switzerland

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishangiliwa baada ya kutoa hotuba yake mjini Davoos, Switzerland.

Pokea hati ya kuboresha jeshi la Polisi

Waziri wa Mambo ya Ndani  Mhe. Mathias Chikawe akipokea hati ya kuboresha Jeshi la Polisi nchini Tanzania.

Huyu ni Flaviana Matata

'Modo' Flaviana Matata  mrembo kutoka Tanzania anayefanya vizuri katika masuala ya urembo

Nasikia 'Lulu' amepata mchumba

Huyu ndiye Elizabeth Michael a.k.a Lulu aliyepata kashikashi ya kifo cha Kanumba. Ni mcheza filamu maarufu hapa Tanzania. Tetesi ni kwamba Lulu amepata mchumba

Hiyo ndiyo bodaboda bwana

Waw! Bodaboda  abiria 8! Hata gari ndogo aina ya Toyota haiwezi kubebe abiria wengi kiasi hicho. Lakini abiria wameufurahia usafiri huo!

Bill ya utata

Je, umeshawahi kuandikiwa bill ya utata? Hii hapa. (Picha kwa hisani ya fb-George Mandepo)

Picha ya kuchora ya Bi.Kidude

Marehemu Bi. Kidude mwimbaji gwiji wa muziki wa taarabu hapa nchini