Tuesday, January 28, 2014
Happy Birth Day Norbert !
Tarehe 26/01/2014 Norbert Macarios Banzi ametimiza mwaka mmoja. Happy birthday Norb. Je, atakuwa dereva?
Ujasiri wa kuchezea nyoka
Wengine wanaogopa nyoka. Lakini kuna dada majasiri wa kucheza ngoma na nyoka hapa nchini Tanzania huu ni utamaduni wetu tuuenzi.
Mama Kikwete hotuba kwa wake wa Mabalozi
Mama Salma Kikwete akitoa hotuba ya kuukaribisha mwaka mpya kwa wake wa Mabalozi nchini Tanzania hivi karibuni.
Kikwete na Ruto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Ruto Makamu wa Rais wa Kenya hivi karibuni
Magufuli ndani ya mtambo kwenye eneo la darala la Dumila
Waziri wa Ujenzi Mhe. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya mtambo wa kujaza kifusi kwenye daraja lililoharibiwa na mafriko huko Dumila, Kilosa, Morogoro.
Hivi ndivyo daraja la Dumila lilivyochimbika
Daraja lilichimbwa mwanzo na mwisho hivyo kulifanya lisipitike baada ya mvua kubwa kunyesha wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.
Ibrahimu Masoud akimhoji Sumaye
Mtangazaji maarufu wa michezo wa Clouds alipata fursa ya kumhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Sumaye wakati alipotembelea studio za kituo hicho hivi karibuni. Masoud alimuuliza swali la kizushi Mhe. Sumaye mapenzi yake kwa Club ya Simba ya mtaa wa Msimbazi maaelezo zaidi sina.
Kikwete ashangiliwa Switzerland
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishangiliwa baada ya kutoa hotuba yake mjini Davoos, Switzerland.
Pokea hati ya kuboresha jeshi la Polisi
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe akipokea hati ya kuboresha Jeshi la Polisi nchini Tanzania.
Nasikia 'Lulu' amepata mchumba
Huyu ndiye Elizabeth Michael a.k.a Lulu aliyepata kashikashi ya kifo cha Kanumba. Ni mcheza filamu maarufu hapa Tanzania. Tetesi ni kwamba Lulu amepata mchumba
Hiyo ndiyo bodaboda bwana
Waw! Bodaboda abiria 8! Hata gari ndogo aina ya Toyota haiwezi kubebe abiria wengi kiasi hicho. Lakini abiria wameufurahia usafiri huo!
Subscribe to:
Posts (Atom)
















