Tuesday, January 28, 2014

Ibrahimu Masoud akimhoji Sumaye

Mtangazaji maarufu wa michezo wa Clouds alipata fursa ya kumhoji Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Sumaye wakati alipotembelea studio za kituo hicho hivi karibuni. Masoud alimuuliza swali la kizushi Mhe. Sumaye mapenzi yake kwa Club ya Simba ya mtaa wa Msimbazi  maaelezo zaidi sina.

No comments: