Tuesday, January 28, 2014

Adha ya ujenzi wa barabara ya mabus yaendayo kasi DAR

Mpaka itakapokuwa imekamilika. Ujenzi wa barabara ya mabus yaendayo kasi jijini Dar utakuwa umewatesa wengi na kwa kweli wachumi tunaweza kukokotoa gharama ya matumizi ya mafuta na kuchelewa kazini wakati wote wa ujenzi wa barabara hiyo/hizo. Tutashangaa!

No comments: