Wednesday, January 22, 2014

Kwetu pazuri!

Inawezekana picha hii haina uhalisia. Lakini kuna baadhi yetu tunaomiliki magari ya kifahari lakini hatuna makazi mazuri huko tunakofanyia kazi wale kule vijijini tulikotoka.Tubadilike.(Picha kwa hisani ya fb- George Mandepo)

No comments: