Tarehe 25/01/2014. WAWATA, Dekania ya Kigamboni iliendesha Misha ya Shukrani Parakiani Vikindu. Misa hiyo ilifana sana na Jumla ya shilingi milioni 5 zilichangiwa kutunisha mfuko wa Elimu ulioanzishwa na chama hicho cha Wanawake Wakatoliki Tanzania.
 |
Maandamano kuelekea kanisani |
No comments:
Post a Comment