Tuesday, January 28, 2014

WAWATA DEKANIA YA KIGAMBONI

Tarehe 25/01/2014. WAWATA, Dekania ya Kigamboni iliendesha Misha ya Shukrani Parakiani Vikindu. Misa hiyo ilifana sana na Jumla ya shilingi milioni 5 zilichangiwa kutunisha mfuko wa Elimu ulioanzishwa na chama hicho cha Wanawake Wakatoliki Tanzania.

Maandamano kuelekea kanisani


No comments: