Friday, January 31, 2014

Kikundi cha Kuigiza Moro

Nikiwa Morogoro kwenye sherehe za harusi, mara nyingi  hukutana na kikundi hiki kinachoigiza muziki wa dansi uliokuwa ukipigwa na magwiji wa muziki huo mjini Moro ambao wote kwa sasa ni marehemu. Nao ni Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, Juma Kilaza na Salum Abadallah. Kwa kweli ukiwaona waigizaji hao (pichani) utafurahi hasa kwa wale wenye umri wa miaka 50 na zaidi ya hapo kwani wanaweza kukumbuka enzi zao.

No comments: