Friday, January 31, 2014

Namezea mate ndafu hii

Jinsi ilivyochomwa. Ndafu hii ilichomwa na mtaalamu kutoka Kilimanjaro anaitwa Joseph. Wachagga kwa kutengeneza ndafu ndo wenyewe. Na ni wakali pia katika kudhibiti matumizi ya fedha. Lakini wanajua jinsi ya kzitafuta. Hii ndafu ilitafumnwa siku ya Boxinga day ya  mwaka 2013 huko Mbezi Beach nyumbani kwa mjomba Dr. G.Mluge

No comments: