Thursday, July 23, 2009

Tabia ya uongo si nzuri

Kusema uongo ni dhambi dini zote zinasema hivyo. Jamii pia haipendi mtu mwongo. Uongo unarudisha nyuma maendeleo ya mtu binafasi, jumuiya na Taifa. Hebu fikiria pale wananchi wanapoahaidiwa na serikali yao kujengewa barabara safi kwa muda fulani halafu haijengwi! Fikiria mzazi unapoahidi kumsomesha mtoto wako kwenye sekondari za kulipia halafu wakati unapofika hutimizi ahadi hiyo. Inakuwaje? Tabia ya uongo zi nzuri.

No comments: