
Kwa kipindi cha mwezi mmoja wasomaji wangu mlikosa uhondo kutoka kwa Banzi wa Moro hii imetokana na kubanwa na shughuli nyingi za kikazi, misafara, bajeti, NaneNane na kadha wa kadha . Lakini kwa muda huo wote nimefanya mengi, nimeona mengi na kujifunza mengi. Pindi itakapowezekana nitawamegea humu bloguni. Poa, nimerudi jukwaani.
No comments:
Post a Comment