
Pamoja na majukumu mengi na mapya niliyokuwa nayo mwaka 2009 lakini namshukuru Mungu nimeweza kuning'iniza mengi katika blog hii. Kuna wakati nilining'iniza chache sana hasa mwezi Novemba 7 tu. Sababu ni nyingi- mtandao kugoma, na kutingwa na shughuli za ofisi pamoja na misiba haya yalionifanya nishindwe kutuma mambo mtandaoni. Namshukuru Mungu
No comments:
Post a Comment