
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watoto hawa wa kijiji cha Kisemvule wilaya ya Mkuranga, Pwani walivyosherehekea sikukuu ya X-mass 2009. Wameulamba na kwa kweli wamependeza. Watoto walipiga picha hii baada ya kupata pilau nzito. Baadaye wakatafuna korosho na embe hii ndiyo raha ya pwani usipime mwanangu!
No comments:
Post a Comment