
Zamani nilikuwa sili pweza lakini siku hizi nikiwaona tu wamekaangwa na kuwekwa mezani pale Buguruni au Mbagala sikosi kuonja kipande kimoja au viwili. Kuna vipande vinavyouzwa sh.100/= (kidogo) na kikubwa sh. 200/=. Ukitaka kumfaidi pweza lazima uweke chachandu. Angalia bakuli la chachandu pichani.
No comments:
Post a Comment