Tuesday, March 1, 2011

Mrema ni Doctor


Tarehe 28/2/2011 itakuwa siku ya kukumbukwa na Mr. Agustine Mrema, Mbunge wa Vunjo kwa kutunukiwa shahada ya Udaktari wa heshima na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Omega Global cha Afrika ya Kusini, Profesa Nehemia Sibiya. Sasa Mrema atatumbulika kwa Dr. A.Mrema!

No comments: