Sunday, November 27, 2011

Wapenzi wa Soka Kisemvule

Wakazi wa kijiji cha Kisemvule wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani ni wapenzi wa mchezo wa soka. Mwaka wa jana Serikali ya Kijiji iliandaa mashindano yaliyojulikana kwa jina la KISE CUP. Mwaka huu je?

No comments: