Saturday, February 18, 2012

Hivi ndivyo ilivyokuwa

Kwa mila na desturi za watu wa Pwani kwenye mihadhara wanaume na wanawake hawakai sehemu moja. Na ndivyo ilivyokuwa kwenye mkutano wa Kijiji cha Kisemvule kilichopo wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani.Pichani wanawake walio wengi walikaa peke yao tena chini ya majamvi na mikeka wengi walikuwa wasikilizaji huku wanaume wakikalia viti na wakitawala mahajadiliano!

No comments: