Saturday, August 25, 2012

Mgeni hafaidi mpaka siku ya Iddi

Familia ya Bw na Bi Mkude wa Mbezi-Kibanda cha mkaa iliwaalika wageni mashuhuri nyumbani kwao kusherehekea kwa pamoja sikuukuu ya Iddi El Fitri. Na hivi ndivyo ilivyokuwa.
usinichekeshe baba Sisti! Ndivyo anavosema shem Zai wakati Banzi wa Moro akichukua akipata picha hii.
Sisti na Sheikh Msafiri (The pilot) walikaa chobingo!
Wakati Sisti anapata msosi. Mwahija alibakia kutafakari!

No comments: