Tuesday, August 19, 2014

Wanameremeta


Bi  na Bw. Anthony Mmore  wa Vikindu sasa ni wanandoa. Ndoa ilifungwa tarehe 2/08/2014 katika kanisa katoliki ya Mt. Vinsenti wa Paulo-Vikindu na wasiamamizi ni Bw. na Bibi I.J.Banzi.Bahati iliyoje kwani nasi tulikuwa tunasheherekea miaka 17 ya ndoa yetu. Mungu na ashukuriwe sana.

1 comment:

Unknown said...

buat teman''yg suka main poker online..kunjungi ya www.rimbapoker.com