Tuesday, April 21, 2015

Nyumba ya gharama nafuu

Nimepokea picha hii kutoka kwa mtaalamu mmoja akinieleza kuwa  hii ni moja ya picha ya nyumba  ambazo tunaweza kuzijenga kwa gharama nafuu. Ushauri wangu hivi kwanini tunashindwa kutafuta sehemu ikapimwa vizuri na kuwezesha kikundi kumiliki eneo hilo hasa vijana tukawapa mtaji nyumba za aina hii zikajengwa halafu wamapangishwe watu. Kama eneo la ekari zipatazo 20 hata 10 tu zikajengwa nyumba za aina hizi  kila wilaya kila mwaka tutakuwa tumepiga hatua kubwa katika kuwapatia wananchi wetu makazi bora.

No comments: