Serikali ya Swaziland inaendelea kuendeleza Mradi wa Bwawa la Maguga kuwa kivutio cha watalii. Tayari mwekezaji amefungua mgahawa wa kisasa kando ya bwawa hilo. Banzi wa Moro alipotembelea Maguga alikuta pia maandalizi ya kujenga sehemu ya kucheza ngoma za asili.

Bwawa la Maguga

Kutoka kushoto Elias Shosi, Banzi wa Moro na Collins Kamalizeni mhadhiri wa Mananga Centre

Mgahawa

Ndani ya mgahawa
No comments:
Post a Comment