Thursday, March 22, 2012

Usimwite Meneja kama hana sifa za umeneja

Wengi tumezoea na kukubali kuitwa meneja. Tanzania tunao mameneja wengi sana. Meneja wa baa, meneja mama ntilie, meneja wa timu ya mpira, meneja wa kiwanda cha sukari n.k.. Sina ubishi kuwa meneja anaweza kuwa mahali popote jikoni, shuleni, hospitali, ofisini,kiwandani. Lakini ni sharti tujiulize wanafanya kazi hizi?
1) Wanapanga?
2)Wanaratibu?
3)Wanaongoza?
4)Wanaandaa?
5)Wanasimamia raslimali?

Kama hawafanyi kazi nilizotaja hapo juu hawastahili kuitwa meneja hao jina kubwa lakini hakuna wanalofanya!

No comments: