Tuesday, December 30, 2014

Haki sawa kwa wote!

Tulipokuwa nyumbani nilishuhudia hii. Binti yetu Tizo Banzi hakutaka kumpisha Bw. Mrema mtoto wa mpwa wetu Heri Mrema. Miaka ile Binti asingethubutu kukalia kiti cha babu haku mtoto wa kiume akikosa nafasi. Kweli Haki Sawa kwa Wote!

No comments: