Wednesday, May 29, 2013

Wataalamu wa Kilimo wakiwa katika mafunzo ya ICT-Tools

Baadhi ya wataalamu wa kilimo na mifugo wakiwa katika mafunzo ya matumizi ya ICT-Tools(Skype,Blog,google docs,twiter,dropox,facebook,u-tube n.k) huko Morogoro hivi karibuni. Hii itasaidia katika kuwasiliana na kutunza information zinazohusu masuala ya kilimo.

No comments: