Wednesday, March 2, 2016

Ifakara ya 2016 inang'ara

Hii ni moja nyumba ya kulala wageni iliyopo mjini Ifakara.m Miaka 10 iliyopita mji wa Ifakara ulikuwa na nyumba chache za kulala lakini hivi sasa nyumba za aina hii ni nyingi tu. Hebu fikiria pango la chumba kwa usiku mmoja ni Tsh 15,000/= huku ukila raha ya TV ya bapa!

No comments: