Wednesday, March 2, 2016

Samaki-Faida inayoweza kupatikana kwenye skimu za umwagiliaji

Hivi karibuni nilitembelea skimu ya umwagiliaji ya kijiji cha Msolwa kilichoko wilaya ya Kilombero mkoa wa Morogoro. Nilishangaa kuwaona watoto hawa wakivua samaki kwenye skimu hiyo. Hii ina maana kuwa kwenye skimu za umwagiliaji, wakulima wanaweza kutenga sehemu na kuwa na mabwawa ya kufuga samaki  na kujipatia kitoweo pamoja na mapato kwa kuuza samaki hao.

No comments: