Tuesday, August 15, 2017

Dafu la kwanza nyumbani Kisemvule Mkuranga


Kisemvule nyumbani kwetu raha sana. Ona mke wangu na mwanetu Sisty wakikata kiu kwa maji ya dafu. Hii ilikuwa mwaka 2012 tulipoanza kuonjam dafu la kwanza kwa minazi tuliyoipanda.

No comments: