Tuesday, August 15, 2017

Prof. Ndalichako na maendeleo ya Elimu Mkuranga

Jiwe la Msingi la moja ya majengo ya Shule ya Sekondari Nasibugani iliyopo wilayani Mkuranga likiwekwa na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe.Prof. Joyce Nadilichako. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Sanga na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga  Mhe.Abdalah Ulega.Shule ya Nasibugani sasa ni mpaka kidato cha sita. Hakika, wakati viwanda vinazidi kujengwa wilayani Mkuranga, elimu  lazima iboreshwe kwani viwanda vinahitaji wataalamu.

No comments: