Friday, November 23, 2007

NAKUFAGILIA RAIA MWEMA

Nimeshikilia gazeti jipya "Raia Mwema" Toleo Na 4. Hili ni gazeti makini linalotokana na waandishi makini waliobobea,gazeti linalotoa uchambuzi wa kina. Ndiyo maana nalifagilia. Hebu angalia makala za toleo hili- Chadema, Zitto Kabwe na hadithi ya Keki, Watu weusi tuna akili ndogo?, Ngoma inapotawaliwa na harufu mbaya,Spika Sitta na vazi lake kutoka London!Nani anayeuzima mshumaa wa Serikali? Na nyingine nyingi unaposoma unatafakari, unapata ujumbe. Hili si gazeti la utani utani, la porojo, udaku!


Asante Ulimwengu na timu yako kutuletea Raia Mwema.

No comments: