Friday, February 7, 2014

Upendo wa Jumuiya ya Mt. Joseph Parokia ya Vikindu

Wanajumuiya ya Mt. Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Vikindu wakirudi majumbani kwao baada ya kumfariji mwanajumuiya mwenzao Mzee C.Semgalawe wa Kisemvule aliyevamiwa na majambazi mwishoni mwa mwezi Januari 2014. Angalia upendo ulioje. Wakubwa kwa watoto, vijana wake kwa waume wote kwenye jumuiya.

No comments: