Friday, February 7, 2014

Nyumbani kwa mwanajumuiya-Vikindu

Wanajumuiya ya Mt. Joseph  Mfanykazi, Parokia ya Vikindu wakiwa  nyumbani kwa Bw. C.Semgalawe kwa ajili ya kumfariji baada ya kuvamiwa na majambazi mwishoni mwa mwezi Januari 2014.

No comments: