Monday, August 31, 2015

Kuelekea Afrika ya Kusini




Kundi letu tulipata bahati ya kutembelea mji wa Afrika ya Kusini ambao hauko mbali sana na Swaziland. Mji huu unaitwa Nelspruit ni makao makuu ya jimbo la Mpumalanga. Nilivutiwa na barabara nzuri. Na kweli kwa mwendo wa masaa takribani mawili sikuweza kuona ajali barabarani!

No comments: