Monday, August 31, 2015

Mazingira murua ya kujifunza chuoni Mananga



Mara nyingi nilikuwa mimi na facilitator wangu darasani mwangu nikiwa na vifaa muhimu ikiwemo kompyuta mpakato kwa kuwa nilitengenezewa moduli ya peke yangu kwa kile nilichotaka kujifunza. Pichani ni mmoja wa facilitator, Mr. Vincent Loveday

No comments: