Friday, July 1, 2016

Mc POLD wa Ukweli

MC  Leopold ni mshehereheshaji anayechipukia katika Jiji la Dar Es Salaam. Anapatikana zaidi maeneo ya Magomeni. MC asiyekuwa na Makuu, Kijana na anayeitendea vyema kazi yake. Mawasiliano hayo hapo. Na mweleze umemuona kwenye Banzi wa Moro. Hahaha.

No comments: