Friday, July 1, 2016

Utafiti wa mbolea unaofanyika ARI-Mlingano

 Ukitaka kuingiza mbolea mpya nchini lazima ifanyiwe utafiti kuona kama inafaa na haina madhara. Huu ni utafiti wa mbolea angalia tofauto. Mkono wa kushoto wameweka mbolea inayofanyiwa utafiti. Kati kati hakuna mbolea.

No comments: