Friday, July 1, 2016

Yanga Vs TPMazembe- Tulishangilia lakini Yanga ilipoteza pointi 3

Mechi ya Yanga na TP Mazembe Uwanja wa Taifa  tarehe 28/6/2016. Tulishangilia wote hata hivyo yanga ilipoteza pointi tatu kwa kufungwa bao 1-0
Picha zote kwa hisani ya Michuzi Blog

No comments: