Thursday, February 3, 2011

Mboga matopeni


Tunajiua wenyewe. Akina mama hawa wanachotaka ni fedha. Walaji wanataka chakula. Bwana afya hayuko. Tunakula vyakula vichafu. Picha hii impegwa Dodoma (Hisani ya Gazeti la Mwananchi 14 Jan 20110

No comments: