Thursday, February 3, 2011

Siyo nyanya ni matunda damu


Tanzania imebahatika kuwa na mazingira mabalimbali yanayoweza kustawisha mazao ya aina mbalimbali. Kwa mfano matunda damu yanayopatikana ulaya hapa kwetu yanlimwa kwa wingi sehemu za baridi kama vile Lushoto, Mbeya, na Mgeta (Morogoro). Pichani mfanyabiashara akiyahifadhi matunda damu kwenye vifuko tayari kwa kuyauza.

No comments: